Eze. 16:19 Swahili Union Version (SUV)

Mkate wangu niliokupa, unga mzuri, na mafuta, na asali, nilivyokulisha, ukaviweka mbele yao viwe harufu ya kupendeza; na ndivyo vilivyokuwa; asema Bwana MUNGU.

Eze. 16

Eze. 16:13-22