Eze. 14:9 Swahili Union Version (SUV)

Na nabii akidanganyika, na kusema neno, mimi, BWANA, nimemdanganya nabii yule, nami nitaunyosha mkono wangu juu yake, na kumwangamiza, asiwe kati ya watu wangu Israeli.

Eze. 14

Eze. 14:6-18