Eze. 13:21 Swahili Union Version (SUV)

Na leso zenu nazo nitazirarua, na kuwaokoa watu wangu katika mikono yenu, wala hawatakuwa katika mikono yenu tena kuwindwa; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.

Eze. 13

Eze. 13:13-23