Eze. 13:10 Swahili Union Version (SUV)

Kwa sababu hiyo, kwa sababu wameshawishi watu wangu, wakisema, Amani; wala hapana amani; na mtu mmoja ajengapo ukuta, tazama, waupaka chokaa isiyokorogwa vema;

Eze. 13

Eze. 13:1-16