Eze. 12:13 Swahili Union Version (SUV)

Tena wavu wangu nitautandika juu yake, naye atanaswa kwa mtego wangu; nami nitampeleka Babeli, mpaka nchi ya Wakaldayo; lakini hataiona, angawa atakufa huko.

Eze. 12

Eze. 12:7-22