Eze. 11:12 Swahili Union Version (SUV)

nanyi mtajua ya kuwa mimi ni BWANA; kwa maana hamuendi katika amri zangu, wala hamkuzishika hukumu zangu, bali mmetenda mambo kama hukumu za mataifa wanaowazunguka.

Eze. 11

Eze. 11:10-15