Eze. 1:3 Swahili Union Version (SUV)

neno la BWANA lilimjia Ezekieli, kuhani, mwana wa Buzi, kwa dhahiri, katika nchi ya Wakaldayo, karibu na mto Kebari; na mkono wa BWANA ulikuwa hapo juu yake.

Eze. 1

Eze. 1:1-12