Est. 9:20 Swahili Union Version (SUV)

Basi Mordekai aliyaandika mambo hayo; naye akapeleka barua kwa Wayahudi wote waliokaa katika majimbo yote ya mfalme Ahasuero, waliokuwa karibu na waliokuwa mbali,

Est. 9

Est. 9:14-23