Efe. 6:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.

2. Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,

3. Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.

4. Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana.

Efe. 6