11. kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu.
12. Katika yeye tunao ujasiri na uwezo wa kukaribia katika tumaini kwa njia ya kumwamini.
13. Basi naomba msikate tamaa kwa sababu ya dhiki zangu kwa ajili yenu, zilizo utukufu kwenu.
14. Kwa hiyo nampigia Baba magoti,
15. ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,