Ebr. 9:7 Swahili Union Version (SUV)

Lakini katika hema hiyo ya pili kuhani mkuu huingia peke yake, mara moja kila mwaka; wala si pasipo damu, atoayo kwa ajili ya nafsi yake na kwa dhambi za kutokujua za hao watu.

Ebr. 9

Ebr. 9:6-13