Ebr. 9:24 Swahili Union Version (SUV)

Kwa sababu Kristo hakuingia katika patakatifu palipofanyika kwa mikono, ndio mfano wa patakatifu halisi; bali aliingia mbinguni hasa, aonekane sasa usoni pa Mungu kwa ajili yetu;

Ebr. 9

Ebr. 9:16-28