Ebr. 6:10 Swahili Union Version (SUV)

Maana Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sasa mngali mkiwahudumia.

Ebr. 6

Ebr. 6:4-12