Ebr. 4:15 Swahili Union Version (SUV)

Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.

Ebr. 4

Ebr. 4:13-16