10. Kwa hiyo nalichukizwa na kizazi hiki,Nikasema, Sikuzote ni watu waliopotoka mioyo hawa;Hawakuzijua njia zangu;
11. Kama nilivyoapa kwa hasira yangu,Hawataingia rahani mwangu.
12. Angalieni, ndugu zangu, usiwe katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutokuamini, kwa kujitenga na Mungu aliye hai.