Ebr. 3:10-12 Swahili Union Version (SUV)

10. Kwa hiyo nalichukizwa na kizazi hiki,Nikasema, Sikuzote ni watu waliopotoka mioyo hawa;Hawakuzijua njia zangu;

11. Kama nilivyoapa kwa hasira yangu,Hawataingia rahani mwangu.

12. Angalieni, ndugu zangu, usiwe katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutokuamini, kwa kujitenga na Mungu aliye hai.

Ebr. 3