Ebr. 13:10-12 Swahili Union Version (SUV)

10. Tuna madhabahu ambayo wale waihudumiao ile hema hawana ruhusa kula vitu vyake.

11. Maana wanyama wale ambao damu yao huletwa ndani ya patakatifu na kuhani mkuu kwa ajili ya dhambi, viwiliwili vyao huteketezwa nje ya kambi.

12. Kwa ajili hii Yesu naye, ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa nje ya lango.

Ebr. 13