Ebr. 12:28 Swahili Union Version (SUV)

Basi kwa kuwa tunapokea ufalme usioweza kutetemeshwa, na mwe na neema, ambayo kwa hiyo tumtolee Mungu ibada ya kumpendeza, pamoja na unyenyekevu na kicho;

Ebr. 12

Ebr. 12:21-29