Ebr. 11:5 Swahili Union Version (SUV)

Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu.

Ebr. 11

Ebr. 11:1-8