37. Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana,Yeye ajaye atakuja, wala hatakawia.
38. Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani;Naye akisita-sita, roho yangu haina furaha naye.
39. Lakini sisi hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali tumo miongoni mwa hao walio na imani ya kutuokoa roho zetu.