Ebr. 10:34 Swahili Union Version (SUV)

Maana mliwaonea huruma wale waliokuwa katika vifungo, tena mkakubali kwa furaha kunyang’anywa mali zenu, mkijua kwamba nafsini mwenu mna mali iliyo njema zaidi, idumuyo.

Ebr. 10

Ebr. 10:25-39