Ebr. 10:31-33 Swahili Union Version (SUV)

31. Ni jambo la kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aliye hai.

32. Lakini zikumbukeni siku za kwanza, ambazo, mlipokwisha kutiwa nuru, mlistahimili mashindano makubwa ya maumivu;

33. pindi mlipotwezwa kwa mashutumu na dhiki, na pindi mliposhirikiana na wale waliotendewa hayo.

Ebr. 10