15. Na Roho Mtakatifu naye amshuhudia; kwa maana, baada ya kusema,
16. Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana,Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,Na katika nia zao nitaziandika;ndipo anenapo,
17. Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
18. Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.