Ebr. 1:13-14 Swahili Union Version (SUV)

13. Je! Yuko malaika aliyemwambia wakati wo wote,Uketi mkono wangu wa kuumeHata nitakapoweka adui zako chini ya nyayo zako?

14. Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumu wale watakaourithi wokovu?

Ebr. 1