Dan. 3:22 Swahili Union Version (SUV)

Basi kwa sababu amri ya mfalme ilikuwa ni kali, na ile tanuru ilikuwa ina moto sana, mwako wa ule moto ukawaua wale watu waliowashika Shadraka, na Meshaki, na Abednego.

Dan. 3

Dan. 3:18-30