Dan. 2:25 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Arioko akamwingiza Danieli mbele ya mfalme kwa haraka, akamwambia hivi, Nimemwona mtu wa hao wana wa Yuda waliohamishwa, atakayemjulisha mfalme ile tafsiri.

Dan. 2

Dan. 2:19-28