Dan. 12:12-13 Swahili Union Version (SUV)

12. Heri angojaye, na kuzifikilia siku hizo elfu na mia tatu na thelathini na tano.

13. Lakini enenda zako hata utakapokuwa mwisho ule; maana wewe utastarehe, nawe utasimama katika kura yako mwisho wa siku hizo.

Dan. 12