Dan. 10:17 Swahili Union Version (SUV)

Maana, mtumishi wa Bwana wangu huyu atawezaje kusema na Bwana wangu huyu? Kwa maana kwangu mimi, mara hazikusalia nguvu ndani yangu, wala pumzi haikusalia ndani yangu.

Dan. 10

Dan. 10:7-21