Dan. 10:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Katika mwaka wa tatu wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, Danieli, ambaye jina lake aliitwa Belteshaza, alifunuliwa neno; na neno lile lilikuwa kweli; maana ni vita vikubwa; naye akalifahamu neno lile, akaelewa na maono hayo.

2. Katika siku zile mimi, Danieli, nalikuwa nikiomboleza muda wa majuma matatu kamili.

Dan. 10