Dan. 1:19 Swahili Union Version (SUV)

Naye mfalme akazungumza nao; na miongoni mwao wote hawakuonekana waliokuwa kama Danieli, na Hanania, na Mishaeli, na Azaria; kwa hiyo wakasimama mbele ya mfalme.

Dan. 1

Dan. 1:18-21