26. Zimepita kama merikebu ziendazo mbio;Mfano wa tai ayashukiaye mawindo.
27. Nikisema, Mimi nitasahau kuugua kwangu,Nitaacha kununa uso nikachangamke moyo;
28. Mimi huziogopa huzuni zangu zote,Najua kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29. Nitahukumiwa kuwa ni mkosa;Ya nini basi nitaabike bure?