Ayu. 7:11-14 Swahili Union Version (SUV)

11. Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu;Nitanena kwa mateso ya roho yangu;Nitalia kwa uchungu wa nafsi yangu.

12. Je! Mimi ni bahari, au je! Ni nyangumi?Hata ukawaweka walinzi juu yangu?

13. Hapo nisemapo, kitanda changu kitanituza moyo,Malazi yangu yatanipunguzia kuugua kwangu;

14. Ndipo unitishapo kwa ndoto,Na kunitia hofu kwa maono;

Ayu. 7