Ayu. 6:17-20 Swahili Union Version (SUV)

17. Wakati vipatapo moto hutoweka;Kukiwako hari, hukoma mahali pao.

18. Misafara isafiriyo kwa njia yao hugeuka;Hukwea kwenda barani, na kupotea.

19. Misafara ya Tema huvitazama,Majeshi ya Sheba huvingojea.

20. Wametahayari kwa sababu walitumaini;Wakaja huku, nao walifadhaika.

Ayu. 6