17. Wakati vipatapo moto hutoweka;Kukiwako hari, hukoma mahali pao.
18. Misafara isafiriyo kwa njia yao hugeuka;Hukwea kwenda barani, na kupotea.
19. Misafara ya Tema huvitazama,Majeshi ya Sheba huvingojea.
20. Wametahayari kwa sababu walitumaini;Wakaja huku, nao walifadhaika.