Ayu. 36:31-33 Swahili Union Version (SUV)

31. Kwani huwahukumu kabila za watu kwa njia hizi;Hutoa chakula kwa ukarimu.

32. Yeye huifunika mikono yake kwa umeme;Na kuuagiza shabaha utakayopiga.

33. Mshindo wake hutoa habari zake,Anayewaka hasira juu ya uovu.

Ayu. 36