Ayu. 33:7-10 Swahili Union Version (SUV)

7. Tazama, utisho wangu hautakutia hofu wewe,Wala sitakulemea kwa uzito.

8. Hakika umenena masikioni mwangu,Nami nimesikia sauti ya maneno yako, ukisema,

9. Mimi ni safi, sina makosa;Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;

10. Tazama, yuaona sababu za kufarakana nami,Hunihesabu kuwa ni adui yake;

Ayu. 33