7. Tazama, utisho wangu hautakutia hofu wewe,Wala sitakulemea kwa uzito.
8. Hakika umenena masikioni mwangu,Nami nimesikia sauti ya maneno yako, ukisema,
9. Mimi ni safi, sina makosa;Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;
10. Tazama, yuaona sababu za kufarakana nami,Hunihesabu kuwa ni adui yake;