Ayu. 33:30-33 Swahili Union Version (SUV)

30. Ili kurudisha roho yake itoke shimoni,Ili atiwe mwanga kwa mwanga wa walio hai.

31. Angalia sana, Ee Ayubu, unisikilize;Nyamaza, mimi nitasema.

32. Kama una neno la kusema, nijibu;Nena, kwani nataka kukuhesabia kuwa na haki.

33. Kama sivyo, unisikilize mimi;Nyamaza, nami nitakufunza hekima.

Ayu. 33