Ayu. 32:2 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo zikawaka hasira za huyo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, katika jamaa ya Ramu, juu ya Ayubu, kwa sababu alikuwa amejipa haki mwenyewe zaidi ya Mungu.

Ayu. 32

Ayu. 32:1-9