Ayu. 31:25-29 Swahili Union Version (SUV)

25. Kama nilifurahi kwa kuwa mali yangu yalikuwa mengi,Na kwa sababu mkono wangu umepata vitu vingi;

26. Kama nililitazama jua lilipoangaza,Au mwezi ukiendelea katika kung’aa;

27. Na moyo wangu umeshawishwa kwa siri,Na midomo yangu imeubusu mkono wangu;

28. Hilo nalo lingekuwa uovu wa kuadhibiwa na waamuzi;Kwani ningemwambia uongo Mungu aliye juu.

29. Kama nilifurahi kwa kuangamia kwake huyo aliyenichukia,Au kujitukuza alipopatikana na maovu;

Ayu. 31