Ayu. 30:13-15 Swahili Union Version (SUV)

13. Waiharibu njia yangu,Wauzidisha msiba wangu,Watu wasio na msaidizi.

14. Wanijilia kama wapitao katika ufa mpana;Katikati ya magofu wanishambulia.

15. Vitisho vimenigeukia;Huifukuza heshima yangu kama upepo;Na kufanikiwa kwangu kumepita kama wingu.

Ayu. 30