17. Huko waovu huacha kusumbua;Huko nako hao waliochoka wapumzika
18. Huko wafungwa waona raha pamoja;Hawaisikii sauti yake msimamizi.
19. Wakuu na wadogo wako huko;Mtumishi yu huru kwa bwana wake.
20. Mbona yeye aliye mashakani kupewa mwanga,Na hao wenye uchungu rohoni kupewa uhai;