Ayu. 3:17-20 Swahili Union Version (SUV)

17. Huko waovu huacha kusumbua;Huko nako hao waliochoka wapumzika

18. Huko wafungwa waona raha pamoja;Hawaisikii sauti yake msimamizi.

19. Wakuu na wadogo wako huko;Mtumishi yu huru kwa bwana wake.

20. Mbona yeye aliye mashakani kupewa mwanga,Na hao wenye uchungu rohoni kupewa uhai;

Ayu. 3