1. Baada ya hayo Ayubu akafunua kinywa chake, na kuilaani siku yake.
2. Ayubu akajibu, na kusema;
3. Na ipotelee mbali ile siku niliyozaliwa mimi,Na ule usiku uliosema,Mtoto mume ametungishwa mimba.
4. Siku hiyo na iwe giza;Mungu asiiangalie toka juu,Wala mwanga usiiangazie.