24. Maana anatazama hata miisho ya nchi,Na kuona chini ya mbingu nzima.
25. Apate kuufanyia upepo uzito wake;Naam, anayapima maji kwa kipimo.
26. Hapo alipoiwekea mvua amri,Na njia kwa umeme wa radi.
27. Ndipo alipoiona na kuitangaza;Aliithibitisha, naam, na kuichunguza.
28. Kisha akamwambia mwanadamu,Tazama, kumcha Bwana ndiyo hekima,Na kujitenga na uovu ndio ufahamu.