23. Mungu ndiye aijuaye njia yake,Naye anajua mahali pake.
24. Maana anatazama hata miisho ya nchi,Na kuona chini ya mbingu nzima.
25. Apate kuufanyia upepo uzito wake;Naam, anayapima maji kwa kipimo.
26. Hapo alipoiwekea mvua amri,Na njia kwa umeme wa radi.