Ayu. 24:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Tazama, kama punda-mwitu jangwaniWao hutoka kwenda kazini mwao, wakitafuta chakula kwa bidii;Jangwa huwapa chakula cha watoto wao.

6. Hukata nafaka zao mashambani;Na kuokota zabibu za waovu.

7. Hujilaza usiku kucha uchi pasipo nguo,Wala hawana cha kujifunika baridi.

8. Hutota kwa manyunyo ya milimani,Na kuambatana na jabali kwa kukosa sitara,

Ayu. 24