Ayu. 23:13-16 Swahili Union Version (SUV)

13. Lakini yeye ni mmoja, ni nani awezaye kumgeuza?Tena nafsi yake ilitakalo, ndilo afanyalo.

14. Kwani yeye hulitimiliza hilo nililoamuriwa;Tena mambo mengi kama hayo ya pamoja naye.

15. Kwa hiyo naona taabu mbele ya uso wake;Nitakapofikiri, namwogopa.

16. Kwani Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia,Naye Mwenyezi amenitaabisha;

Ayu. 23