6. Kwa kuwa umetwaa dhamana kwa nduguyo bure,Na kuwavua nguo zao walio uchi.
7. Hukumpa maji ya kunywa huyo aliyechoka,Nawe umemnyima chakula huyo mwenye njaa.
8. Lakini huyo shujaa, nchi ilikuwa yake;Na huyo mwenye kusifiwa, yeye aliikaa.
9. Umewafukuza wanawake wajane hali ya utupu,Na mikono ya mayatima imevunjwa.
10. Kwa hiyo umezungukwa na mitego,Na hofu ya ghafula yakutaabisha,