Ayu. 19:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Ndipo Ayubu akajibu, na kusema,

2. Je! Mtanichukiza nafsi yangu hata lini,Na kunivunja-vunja kwa maneno?

3. Mara kumi hizi mmenishutumu;Hamwoni haya kunifanyia mambo magumu.

4. Ingawaje nimekosa,Kosa langu hukaa kwangu mwenyewe.

Ayu. 19