4. Kwani mioyo yao imeificha ufahamu;Kwa hiyo hutawakuza.
5. Awafitiniye rafiki zake wawe mawindo,Hata macho ya watoto wake yataingia kiwi.
6. Amenifanya niwe simo kwa watu;Nimekuwa mwenye kuchukiwa kwa wazi.
7. Jicho langu nalo limekuwa giza kwa sababu ya majonzi,Na via vyangu vyote vimekuwa kama kivuli.