12. Wabadili usiku kuwa mchana;Wasema, Mwanga u karibu kwa sababu ya giza.
13. Nikitazamia kuzimu kuwa nyumba yangu;Nikitandika malazi yangu gizani;
14. Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu;Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na umbu langu;
15. Basi, tumaini langu li wapi?Na tumaini langu, ni nani atakayeliona?
16. Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu,Itakapokuwapo raha mavumbini.