16. Uso wangu umeharibika kwa kutoa machozi,Na giza tupu li katika kope zangu;
17. Ijapokuwa hapana jeuri mikononi mwangu,Na kuomba kwangu ni safi.
18. Ee nchi, usiifunike damu yangu,Na kilio changu kisipate mahali pa kupumzika.
19. Hata sasa, tazama, shahidi wangu yuko mbinguni.Na huyo atakayenidhamini yuko juu.
20. Rafiki zangu hunidharau;Lakini jicho langu humwagia Mungu machozi;