Ayu. 15:16-19 Swahili Union Version (SUV)

16. Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu,Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!

17. Mimi nitakuonyesha, unisikilize;Na hayo yote niliyoyaona nitayanena;

18. (Ambayo watu wenye hekima wameyatangazaTokea baba zao, wala hawakuyaficha;

19. Waliopewa hiyo nchi peke yao,Wala mgeni hakupita kati yao);

Ayu. 15