16. Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu,Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!
17. Mimi nitakuonyesha, unisikilize;Na hayo yote niliyoyaona nitayanena;
18. (Ambayo watu wenye hekima wameyatangazaTokea baba zao, wala hawakuyaficha;
19. Waliopewa hiyo nchi peke yao,Wala mgeni hakupita kati yao);